Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Sunday, November 6, 2016

WATANZANIA MJINI ROMA WAMPONGEZA NA KUMUAGA MAMA TABITHA JANETH MHELLA

 
Watanzania mjini Roma, jana jumamosi tarehe 05 Novemba 2016, walikusanyika kwenye sherehe ya kumpongeza na kumuaga Mama Tabitha Janeth Mhella (Mama Mhella)  ambaye tarehe 31 Oktoba 2016.

Mama Mhella ambaye alikuwa akifanya kazi kwenye idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican amekuwa mwafrika  wa kwanza kutunukiwa zawadi ya heshima  na Papa Francis , kwaajili ya utendaji mzuri wa kazi na huduma ya Kanisa.

Sherehe hii ambayo ilifana sana, iliudhuliwa na Watanzania kutoka kila kona ya Roma.
Kwenye hafla hiyo, Mama Mhella, alipata fursa ya kuwashukuru Watanzania wote kwa upendo waliomuonyesha tokea alipowasili mjini Roma mwaka 1992 na pia kuwashukuru kwa ushirikiano na upendo  waliompa kwenye kipindi cha miaka 24 cha uwepo wake mjini Roma.

Vile vile, kwa niaba ya Watanzania mjini Roma, Mheshimiwa kaimu Balozi, Mr. Salvatori Mbilinyi ambaye alikuwa mmoja ya washiriki wa sherehe hiyo, alimpongeza mama Mhella kwa kustahafu kazi na zaidi kumshukuru kwa upendo wake, busara zake na ukaribu aliokuwa nao na Watanzania wote.  Mh. Kaimu balozi alimalizia kwa  kumtakia Mama Mhella safari njema ya kurudi nchini Tanzania.





















1 comment: